Rais Dkt.Samia amefanya uteuzi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina.  Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).  Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine.   Amemteua Bw. Hamad Abdallah, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika